Hofu ya kusambaa kwa maradhi ya Hepatitis A imeukumba mji wa Mombasa nchini Kenya huku mikakati ikiwekwa na serikali ili kudhibiti kusambaa kwa maradhi hayo. Katika fremu hiyo, viongozi wa afya wamekuwa wakiendesha zoezi la kuweka madawa ya kuzuia maambukizi ndani ya visima vya maji ndani ya jiji hilo la Mombasa.
Mwandishi wetu Seifullah Murtadha ametuandalia taarifa ifuatayo……………………………../