- Silaha za Libya zatumiwa vibaya barani Afrika
- Tuhuma mpya dhidi ya Iran, sambamba na safari ya John Kerry Mashariki ya Kati
- Rais Mugabe atia saini katiba mpya ya Zimbabwe
- Watu elfu 30 wanashikiliwa kwenye jela za Saudia
- Ban asifu juhudi za rais Kabila wa DRC
- Safari ya Ban Ki Moon nchini Kongo DRC
- Wakimbizi wa Nigeria wakimbilia kaskazini mwa Cameroon
- ICC yajipanga kusikiliza kesi za viongozi wa Kenya
- Misri: Askari waliotekwa Sinai wameachiwa huru
- Drone za Marekani zinawaua raia wasio na hatia
Vipindi vya kampeni za uchaguzi Iran kuanza kurikodiwa Ijumaa
Wagombea urais kwenye uchaguzi ujao wa Rais hapa nchini Iran wanatarajiwa kuanza kurekodi vipindi vya kampeni za uchaguzi kuanzia kesho …
Mahakama Uganda yataka polisi kuondoka "Monitor"
Mahakama moja nchini Uganda imelitaka jeshi la polisi nchini humo kuwaondoa maafisa wake katika makao makuu ya gazeti la Monitor …
Al-Wifaq ya Bahrain yajiondoa kwenye mazungumzo
Chama cha upinzani cha Al-Wifaq nchini Bahrain kimejiondoa kwenye meza ya mazungumzo na utawala wa kiimla wa Aal Khalifa nchini …
Jeshi la Misri lasema waliotekwa nyara Sinai wameachiwa huru
Msemaji wa Jeshi la Misri, Ahmed Ali amesema kuwa maafisa 6 wa polisi pamoja na askari mmoja wa kulinda mpaka …
Uchambuzi
Tuhuma mpya dhidi ya Iran, sambamba na safari ya John Kerry Mashariki ya Kati
Duru mpya ya propaganda kwamba Iran inaingilia masuala ya ndani ya baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati imeanza, sambamba na safari ya John Kerry Waziri wa Mambo ya Nje …
Safari ya Ban Ki Moon nchini Kongo DRC
Ban Ki Moon Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa leo Jumanne ameanza safari ya kulitembela bara la Afrika kwa kuelekea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Katika safari yake hiyo …
Wakimbizi wa Nigeria wakimbilia kaskazini mwa Cameroon
Baada ya jeshi la Nigeria kushambulia ngome za wafuasi wa Boko Haram, maelfu ya wakaazi wa eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo wamekimbilia kaskazini mwa Cameroon. Tangu wiki iliyopita …
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na waasi wa LRA wa Uganda
Umoja wa Mataifa umetoa ripoti kuhusiana na hali ya mambo katika eneo la katikati mwa Afrika na kutangaza kuwa, kundi la waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) la nchini Uganda …
Makala ya Wiki
Umoja wa Waislamu katika mtazamo na vitendo vya Imam Ali (as)
Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujumuika nami katika kipindi hiki cha Makala …
Sahaba Hujr bin Adi (RA), muhanga wa uovu na taasubi za kimadhehebu
Karibuni wasikilizaji wapenzi katika kipindi kingine cha makala ya wiki ambacho leo …
Mafanikio ya mkutano wa Maulamaa na Mwamko wa Kiislamu uliomalizika hivi karibuni nchini hapa
As-Salamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujumuika nami katika kipindi kingine cha …
Jela ya Guantanamo, ishara ya Marekani kukanyaga haki za binaadamu
Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu …
Maswali Yetu Majibu ya Thaqalain (12)
Asaalam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswali Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni kusikiliza kipindi cha …
Kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Jawad AS
Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji ni wakati mwingine wa kuwa nanyi kukuleteeni kipindi hiki maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya …
'Wairani watavunja njama za maadui katika uchaguzi'
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, 'katika kufikia malengo yao na kuvunja njama za maadui, wananchi wa Iran …
Tafiti Mbalimbali za Afya + Sauti
Ahlan wa Sahlan wapenzi wasikilizaji, ni wakati mwingine wa kujumuika nami katika kipindi cha Ijue Afya Yako, kipindi ambacho huzungumzia …
Nabii wa Rehma (18)
Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji. Kwa furaha na moyo mkunjufu nakukaribisheni kujiunga nami …
Matatizo ya Familia katika Nchi za Magharibi (22)
Wasikilizaji wapenzi ni wasaa na wakati mwingine umewadia wa kujiunga nanyi tena katika mfululizo huu wa vipindi vinavyochunguza matatizo ya …
Bustani ya Uongofu (18)
Bismilalahir Rahmanir Rahim Ni wakati na wasaa mwingine mpenzi msikilizaji wa kuwa nawe katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha …
Fatimatuz Zahra (17) Sauti
Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika mfululizo huu wa tamthilia inayohusiana na Bibi …
Michezo
Ndoto za Mourinho zaota mbawa,Atletico Madrid yabeba 'Copa del Rey' Uhispania
Klabu ya Atletico Madrid ya Uhispania imevunja uteja wa miaka 14 mbele ya Real Madrid, …
Chelsea yaibwaga Benfica na kulibeba kombe la 'Europa League'
Klabu ya Chelsea ya Uingereza haijatoka kapa mwaka huu, kwani imeweza kulinyakua kombe la Ligi …
Hatimaye Manchini atupiwa virago kukinoa kikosi cha Man City
Kocha mkuu wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Roberto Manchini atimuliwa kukinoa kikosi cha …
Ribery 'Bilal' akerwa mno na kitendo cha Jerome Boateng cha kummwagia pombe
Frank Ribery mchezaji Muislamu wa klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani, ameapa kutoongea tena na …
Mahojiano na Ripoti
Mkutano wa wanasiasa mjini Bujumbura Burundi
Wanasiasa wa Burundi watajumuika katika awamu ya pili ya majadiliano ya kisiasa yanayoendeshwa na Umoja wa Mataifa ili kuhakikisha mazingira …
Kubomolewa makaburi ya Sahaba wa Mtume na mwasisi wa Jihadul Islami Syria
Magaidi wa Syria wameendeleza vitendo vya kuharibu na kufukua makaburi ya watu muhimu katika Uislamu, baada ya kuliharibu kaburi la …
Kuongezeka idadi ya watu wanaojiua nchini Kenya
Vitendo vya kujiua na kujimalizia maisha vimeongezeka sana nchini Kenya. Mashirika ya kijamii yanaendelea kufanya uchunguzi kuhusu sababu zinazopelekea ongezeko …
Kadhi Mkuu wa Tanzania azungumzia Mahakama ya Kadhi
Na Serikali ya Tanzania mwaka jana ilikubaliana na Waislamu juu ya kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi itakayokuwa nje ya Mfumo …







