Uchambuzi

News image

Uchumi wa Zimbabawe, wasiwasi mkubwa wa wanasiasa wa nchi hiyo

Licha ya kupita miaka mitatu ya kutekelezwa siasa mpya za fedha nchini Zimbabwe na pia licha ya kuwepo takwimu zinazoonyesha kupungua ughali wa maisha nchini humo, bado wasiwasi mkubwa wa...

News image

Kuundwa mahakama kuu ya katiba kwa ajili ya kusimamia shughuli za uchaguzi nchini Syria

Katika hatua ya kuendeleza mpango wa marekebisho ya kisiasa alioutangaza Rais wa Syria Bashar al Asad, kwa mara nyingine hivi karibuni rais huyo ametoa amri ya kuundwa chombo cha mahakama...

News image

Mazungumzo yafanyika kati ya Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA

Mazungumzo ya siku ya kwanza   kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA na ambayo hayakuhudhuriwa na vyombo vya habari yalifanyika jana...

News image

Kushadidi machafuko Congo kwazidi kuwafanya raia wa nchi hiyo kukimbilia Rwanda na Uganda

Maelfu ya raia wa majimbo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameendelea kukimbilia katika nchi jirani za Rwanda na Uganda wakikwepa mapigano baina ya vikosi vya serikali na...

Leo katika historia

News image

Jumatano, Mei 16, 2012

Leo ni Jumatano tarehe 24 Mfunguo Tisa Jamadu Thani mwaka 1433 Hijria inayosadifiana na tarehe 16 Mei mwaka 2012 Miladia.Siku kama ya leo miaka 15 iliyopita, Jenerali Mobutu Sese Seko...

News image

Jumanne, Mei 15, 2012

Leo ni Jumanne tarehe 23 Mfunguo Tisa Jamaduth Thani mwaka 1433 Hijria inayosadifiana na tarehe 15 Mei 2012 Miladia.Siku kama ya leo miaka 93 iliyopita, sawa na tarehe 15 Mei...

News image

Jumatatu, Mei 14, 2012

Leo ni Jumatatu tarahe 22 Jamadu Thani mwaka 1433 Hijiria inayosadifiana na tarehe 14 Mei 2012 Miladia.Siku kama ya leo miaka 437 iliyopita, ardhi ya Angola ilikaliwa kwa mabavu na...

News image

Jumapili, Mei 13, 2012

Leo ni Jumapili tarehe 21 Mfungo Tisa Jamaduth Thani mwaka 1433 Hijria, inayosadifiana na terehe 13 Mei mwaka 2012 Miladia.Miaka 1114 iliyopita na siku kama ya leo alifariki dunia mtaalamu...

Michezo

News image

Bayern Munich yailaza Real Madrid na kutinga fainali

Timu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani imefanikiwa kuilaza Real Madrid ya Uhispania kwa mikwaju ya penalty katika mechi...

News image

Van Persie, mchezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza

Nyota wa Arsenal Robin van Persie amechaguliwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Uingereza katika kura za Shirikisho la Wachezaji...

News image

Manchester United yateleza na kujiweka mahala pabaya

Mashetani Wekundu Manchester United wameboronga na kujiweka mahala pabaya mwishoni mwa wiki baada ya kulazimishwa sare ya mabao manne kwa...

More in: Michezo

Makala

News image

Mwamko wa watu wanaodhulumiwa Bahrain

Punde baada ya kuanza wimbi la mwamko wa Kiislamu, wananchi Waislamu wa Bahrain nao pia mnamo Februari 14 mwaka 2011 walianza mwamko katika mji mkuu wa nchi hiyo Manama. Mwamko...

SOMAZAIDI
News image

Uzawa wa Bibi Fatima Zahra SA + Sauti

Sikiliza Nuru ya mwezi ilienea kote Makka, mji ulikuwa umetulia. Katika lahadha hiyo Mtume Muhammad SAW alikuwa akisubiri kwa hamu kutimia ahadi ya Mwenyezi Mungu. Mtume SAW na mke...

SOMAZAIDI
News image

Ubaguzi wa Waislamu Barani Ulaya + Sauti

Sikiliza Ubaguzi dhidi ya Waislamu barani Ulaya unazidi kuongezeka pamoja na kuwa bara hilo linadai kuwa mbeba bendera wa uhuru na demokrasia duniani.Kuendelea na kushadidi vitendo vya ubaguzi na...

SOMAZAIDI
News image

Ghuba ya Uajemi, Jina la Kudumu

Katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuna minasaba ambayo ina umuhimu wa kipekee. Moja ya minasaba hii ni 'Siku ya Kitaifa ya Ghuba ya Uajemi' ambayo huadhimishwa tarehe 10 Ordibehesht...

SOMAZAIDI

Uislamu Chaguo Langu

Uislamu, Chaguo Langu 3

News image

Mwishoni mwa mwaka 2003, serikali ya Ufaransa ilizidisha propaganda zake chafu dhidi ya vazi la stara la Kiislamu, Hijab na madhihirisho yote ya dini ya Kiislamu nchini humo. Serikali ya...

SomaZaidi

Uislamu, Chaguo Langu 2

News image

Wakati jua na mbingu za rangi ya samawati zinapofunikwa na mawingu, ardhi bado huwa na mwanga ambao hunufaisha mimea na viumbe wengine. Uislamu pia, sawa na jua, huleta uhai na...

SomaZaidi

Uislamu, Chaguo Langu 1 + Sauti

News image

Sikiliza Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh na karibuni katika mfululizo wa makala hizi mpya ambazo zitaangazia maisha ya watu ambao, baada ya kufanya utafiti wa kina, wamesilimu na hivyo kufuata...

SomaZaidi

More in: Uislamu Chaguo Langu

Uislamu

Umuhimu wa Kazi Katika Uislamu (12)

News image

Bismillahir Rahmanir Rahim Makala hii inabainisha na kutupia jicho baadhi ya faida za kijamii na kiuchumi zinazotokana na kufanya kazi. Kujituma na kufanya kazi ni moja ya sababu muhimu...

More in: Kazi

Kiongozi Muadhamu

Kiongozi Muadhamu: Tofauti na ubepari na usoshalisti, Uislamu ni mkweli kwa wafanyakazi

News image

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa mifumo ya kibepari inawadhulumu, kuwadanganya na kuwatumia vibaya wafanyakazi, lakini Uislamu ni mkweli mbele ya wafanyakazi na kwamba Uislamu unampa heshima...

More in: Kiongozi Muadhamu

Milango ya Pepo

Milango ya Pepo 1

News image

Bismillahir Rahmanir Rahim Assalaam Alaykum. Karibuni kujiunga nami tena katika kipindi hiki kipya cha Milango ya Pepo. Lengo la kipindi hiki ni kujadili na kuangazia suala la kuzuru maeneo matakatifu...

More in: Milango ya Pepo

Visa vya Kuelimisha

VISA VYA KUELIMISHA (11)

News image

Kwa jina la Allah Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu ****** Hii ni sehemu nyingine ya Visa vya Kuelimisha. Lakini, kama nilivyotangulia kusema katika kisa kilichopita, si vile visa vya ngano...

More in: Visa vya Kuelimisha