Uchambuzi

News image

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asisitiza kuachiwa huru wafungwa wa Palestina

Ban Ki Moon Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza juu ya udharura wa kuachiwa huru wafungwa wote wa Palestina na kutangaza kuwa Umoja wa Mataifa utaendeleza juhudi zake katika...

News image

Mwakilishi wa UN apongeza kufunguliwa tena ofisi ya umoja huo Mogadishu

Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Augustine Mahiga amewatumia barua ya wazi wananchi wa Somalia akiwapongeza kutokana na kufunguliwa tena ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Mogadishu. Mahiga...

News image

Wamarekani wamkosoa Obama, wasema ametoa ahadi hewa

Hotuba ya kila mwaka iliyotolewa Jumanne iliyopita na Rais wa Marekani Barack Obama imekosolewa vikali na wajumbe wa chama cha upinzani cha Republican na wananchi wengi wa Marekani ambao wanasema...

News image

Wasiwasi wa athari za kususia mafuta ya Iran

Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF umetoa ripoti inayolitahadharisha kundi la G20 kwamba endapo Iran itasitisha kuuza mafuta yake kutokana na vikwazo vya Marekani na Umoja wa Ulaya bei ya...

Leo katika historia

News image

Jumamosi, Januari 28, 2012

Leo ni Jumamosi tarehe 4 Mfunguo Sita Rabiul Awwal mwaka 1433 Hijiria inayosadifiana na tarehe 28 Januari mwaka 2012 Miladia.Siku kama ya leo miaka 130 iliyopita yaani tarehe 28 Januari...

News image

Ijumaa, Januari 27, 2012

Leo ni Ijumaa tarehe 3 Rabiul Awwal 1433 Hijria sawa na tarehe 27 Januari 2012 Miladia.Siku kama ya leo miaka 33 iliyopita kundi kubwa la wanazuoni wa Kiislamu lilifanya mgomo...

News image

Alkhamisi, Januari 26, 2012

Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Rabiul Awwal 1433 Hijria sawa na tarehe 26 Januari 2012 Miladia.Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita mkataba wa kuaibisha wa Camp David ulitiwa saini...

News image

Jumatano, Januari 25, 2012

Leo ni Jumatano tarehe Mosi Rabiul Awwal 1433 Hijria sawa na tarehe 25 Januari 2012 Miladia.Siku kama ya leo miaka 1433 iliyopita hijra ya kihistoria ya Mtume Muhammad (saw) ilianza....

Michezo

News image

Resi za kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika zaana, mibabe ya soka Afrika yatolewa jasho

Timu ya taifa ya soka ya Gabon, ambayo ni mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika Gabon imeanza vizuri resi za kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika, baada...

News image

Ulimwengu wa Michezo

Wairani wazoa medali katika mashindano ya mabingwa Qatar Timu ya taifa ya wanawake ya mchezo wa kulenga shabaha ya Iran imeshinda medali ya kwanza ya shaba katika Mashindano ya Mabingwa...

News image

Ulimwengu wa Spoti

Ligi Kuu ya Soka ya Iran Klabu ya Esteqlal ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Sepahan siku ya Ijumaa mbele ya mashabiki zaidi ya 30,000 katika uwanja wa Azadi hapa...

News image

Ulimwengu wa Michezo

Wanamasumbwi wa Iran washinda medali Mashindano ya Kimataifa Pakistan Ali Salmani, mwanamasumbwi wa Iran ameshinda medali ya fedha katika Mashindano ya 2 ya Kimataifa ya Ndondi ya Benazir Bhutto, mjini...

Uislamu

Umuhimu wa Kazi Katika Uislamu (10)

News image

Bismillahir Rahmanir Rahim Kutawakali kwa Mwenyezi Mungu na kumkabidhi Mola Mlezi kazi zetu, hakuna maana ya kwamba, mwanaadamu akae na kubweteka na kuacha kunufaika na suhula za kimaumbile zilizoko...

More in: Kazi

Kiongozi Muadhamu

Ayatullah Khamenei: Wasomi wanaouawa shahidi ni chimbuko la izza ya Iran

News image

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema wasomi na wanafikra waliouawa na maadui hapa nchini ni chimbuko la izza na utukufu wa nchi hii. Akizungumza na familia ya...

More in: Kiongozi Muadhamu

Sayansi

Iran katika Upeo wa Sayansi

News image

Huu ni mfululizo wa makala zinazoangazia ustawi na maendeleo ya kielimu na kisayansi nchini Iran. Kila siku Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hushuhudia ubunifu na uvumbuzi wa wasomi na watafiti...

More in: Sayansi

Afya

Usafi na Utunzaji wa Meno ya Watoto

News image

Karibuni katika sehemu hii nyingine ya mfululizo wa makala za Ijue Afya Yako, ambapo leo nitazungumzia usafi na utunzaji wa meno ya watoto. Ninakaribisha maoni yenu kuhusu makala hizi. E-mail...

More in: Afya